Nilivyopata Amani ya Ndani Baada ya Kuacha Kuishi Kwa Kulinganisha Maisha Yangu na Wengine

Mimi nilikuwa na tabia ya kujilinganisha sana na watu wengine. Kila nilichokiona kwa wengine kilinifanya nijione kama sipo sawa, hata kama nilikuwa nafanya vizuri kwenye maisha yangu mwenyewe.

Nilianza kuhisi kama naishi nyuma ya kila mtu.

Wakati mwingine nilikuwa najisikia huzuni bila sababu ya msingi, nikijiuliza kwa nini maisha yangu hayaendi kama ya wengine. 

Hali hii ilinifanya nipoteze amani ya ndani. Nilikuwa na mawazo mengi, na hata kufurahia mafanikio yangu madogo ilikuwa ngumu.

Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu kuhusu hisia zangu.SOMA ZAIDI.

Post a Comment

Previous Post Next Post