Mwanaume Akiwa Amefunikwa na Maelfu ya Nyuki Kwenye Mwili Wake – Mwanaume amepata umaarufu katika jamii yake kutokana na uwezo wake wa kutembea akiwa na nyuki kwenye mwili wake bila kuchomwa....TAZAMA VIDEO HAPA
Mwanaume huyo anayejitaja kama mfalme wa nyuki amesema kuwa amekuwa akifuga wadudu hao kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita na alianza tangu akiwa utotoni.
Mbali na umaarufu alioupata, pia hufanya biashara kwa kuuza asali na husaidia watu wanaosumbuliwa na nyuki kuondoa wadudu hao.TAZAMA VIDEO HAPA
Katika video ya YouTube ya Afrimax, mfalme huyo wa nyuki aliyejipachika jina hilo alieleza kuwa ili kuwafanya nyuki hao kumkaa juu ya mwili wake, kwanza hutambua na kumweka malkia wa nyuki juu ya mwili wake.
Mara baada ya kufanikiwa, nyuki wengine wa asali humiminika kwake na kumzunguka mwili wake karibu na malkia huyo – njia ya kumlinda malkia..TAZAMA VIDEO
Hufanya malkia wa nyuki abaki katika sehemu moja juu ya mwili wake kwa kumfunga kwa kamba kwenye kiuno chake. Mwanaume huyo alisema amekuwa akifuga nyuki tangu utotoni.
Kutokana na umaarufu alioupata katika eneo lake la karibu, watu wanaosumbuliwa na nyuki humtafuta kwa ajili ya kuwasaidia kuwafukuza wadudu hao, huduma ambayo hutoa kwa malipo. Pia huuza masega ya asali yanayotengenezwa na nyuki..TAZAMA VIDEO
Mwanaume huyo anayejitaja kama mfalme wa nyuki amesema kuwa amekuwa akifuga wadudu hao kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita na alianza tangu akiwa utotoni.
Mbali na umaarufu alioupata, pia hufanya biashara kwa kuuza asali na husaidia watu wanaosumbuliwa na nyuki kuondoa wadudu hao.TAZAMA VIDEO HAPA
Katika video ya YouTube ya Afrimax, mfalme huyo wa nyuki aliyejipachika jina hilo alieleza kuwa ili kuwafanya nyuki hao kumkaa juu ya mwili wake, kwanza hutambua na kumweka malkia wa nyuki juu ya mwili wake.
Mara baada ya kufanikiwa, nyuki wengine wa asali humiminika kwake na kumzunguka mwili wake karibu na malkia huyo – njia ya kumlinda malkia..TAZAMA VIDEO
Hufanya malkia wa nyuki abaki katika sehemu moja juu ya mwili wake kwa kumfunga kwa kamba kwenye kiuno chake. Mwanaume huyo alisema amekuwa akifuga nyuki tangu utotoni.
Kutokana na umaarufu alioupata katika eneo lake la karibu, watu wanaosumbuliwa na nyuki humtafuta kwa ajili ya kuwasaidia kuwafukuza wadudu hao, huduma ambayo hutoa kwa malipo. Pia huuza masega ya asali yanayotengenezwa na nyuki..TAZAMA VIDEO
Post a Comment